.
12th November, 2016
Mwenyekiti wa kamati ya seneti kuhusu Kawi Gideon Moi amefichua kwamba serikali inalenga kurekebisha mswada wa Kawi unaosimamia usambazaji wa manufaa yanayotokana na raslimali za mafuta kinyume na matarajio ya wakenya
wengi. Aliandamana na Seneta wa West Pokot John Lonyangapuo