.
12th November, 2016
Mke wa Rais wa Tanzania Mama Janeth Magufuli ameruhusiwa kutoka hospitali ya taifa ya nchi hiyo Muhimbili alipokuwa amelazwa tangu siku ya jumatano… hili ni tukio linalowashangaza wengi kwani haijazoeleka kwa mtu mashuhuri kama mke wa rais kupata matibabu katika hospitali ya umma