.
2nd November, 2016
Baada ya taarifa hiyo ya Mary Kilobi, Frank Otieno sasa anatupa habari za kuvunja moyo kuhusu mtahiniwa mmoja aliyepaswa kufanya mitihani ya kidato cha nne KCSE kuanzia wiki ijayo, lakini akauwawa jana na watu wasiojulikana huko Ruiru.