.
31st October, 2016
Afisi ya mkaguzi mkuu wa fedha za serikali inayoongozwa na Edward Ouko inapigwa darubini kali kuhusu itakavyoshughulikia sakata ya wizara ya afya ambapo kuna madai kuwa fedha kiasi cha shilingi bilioni tano zimepotea. Je, Uhuru wa afisi hiyo umeathiriwa vipi na siasa zinazozingira sakata mbalimbali nchini? Mwanahabari Caroline Bae anatuarifu kuhusu siasa zinazokabili afisi hiyo.