22nd October, 2016
Siku moja baada wabunge wawili wa ODM kukashifu Rais Uhuru Kenyatta kwa kutomtaja kiongozi wa CORD Raila Odinga kuwa shujaa wakati wa sherehe ya mashujaa, mwenyekiti wa kamati ya bunge kuhusu sheria Samuel Chepkonga amesema kuwa rais hakukosea kwa sababu Raila bado yumo katika siasa.