.
22nd October, 2016
Zaidi ya watu 30 wameuawa kufikia sasa katika bonde la Kerio Valley huku mifugo 10,000 wakiibiwa na watu wanaodaiwa kutoka jamii inayopakana na Elgeyo Marakwet…kina mama na watoto wamelazimika kuishi pangoni huku shule na hospitali zikufungwa.