13th October, 2016
Mwanamme mmoja katika kijiji Gacharageini kaunti ya Murang’a, anazuiwa na polisi baada ya madai ya kumbaka mtoto mwenye umri wa miaka miwili na ajuza wa miaka 98 na kuwaacha na majeraha mabaya. Ni tukio ambalo limeacha wenyeji vinywa wazi.