×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

KTN Leo: Mataaifa ya Afrika Mashariki yanahimizwa kupigania haki za wanawake na ardhi, 12/10/16

12th October, 2016

Bunge la Afrika mashariki bado linajadili hoja ya kushinikiza baraza la mawaziri kufanya kikao cha dharura ili kutatua suala la uhaba wa fedha. Shughuli zote zimelemazwa kwa zaidi ya mwezi mmoja wakati  baraza hilo na marais wanachama walitia saini bajeti ya mwaka huu lakini hadi sasa wamesalia kutegemea misaada kutoka jamii ya kimataifa. Mwanahabari Francis Mtalaki ambaye yuko Zanzibar panapofanyika vikao alizungumza na mdhamini wa hoja hiyo Judith Pareno na kutuandalia taarifa ifuatayo.

.
RELATED VIDEOS