.
10th October, 2016
Katika kile kinachoonekana kuwa juhudi za kuimarisha upinzani ili kutoana na jasho na serikali ya Jubilee katika uchaguzi mkuu ojao, mchango wa Musalia Mudavadi umeonekana kuwa muhimu kwa juhudi za Cord. Hii leo kinara wa CORD Raila Odinga ameashiria kuwa huenda Musalia Mudavadi akajiunga na muungano huo katika mapambano ya kisiasa sawa na Martha Karua. Matamshi kama hayo yalitolewa hapo jana na kiongozi wa Ford Kenya Moses Wetangula