×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

KTN Leo: Wakorino walalamika kutengwa na serikali wakiwa katika hafla ya maombi Embu , 3/10/2016

3rd October, 2016

Waumini wa dhehebu la akorino maeneo ya Embu wamelalamikia kutengwa na serikali ya Kenya. Waumini hao waliokusanyika katika shule ya upili ya Kangaru kaunti ya Embu wamesema wana wasiwasi kuhusu kuhusishwa kwao kwenye vyeo serikalini na pia wanafunzi wa dini kuruhusiwa kuvaa vilemba shuleni kama dini zingine.

.
RELATED VIDEOS