.
25th September, 2016
Wakati uo huo kiongozi wa ODM Raila Odinga amesistiza kuwa huenda Wakenya wakarejelea maandamano endapo serikali itaendelea kuchelewesha mchakato wa kubuni tume mpya ya kusimamia uchaguzi ujao. Raila amesema hayo hii leo baada ya spika wa bunge kulaumu wizara ya fedha na tume ya mishahara kwa kuchelewesha shughuli hizo.