.
24th September, 2016
Je tume huru ya uchaguzi na mipaka itabuniwa mwisho wa mwezi huo jinsi ilivyopendekeza kamati ya pamoja ya bunge? Bila shaka ni ndoto ya mchana, na dhana hiyo imepigwa jeki na taarifa ya spika wa bunge la kitaifa Justin Muturi ambaye amelaumu tume ya mishahara halikadhalika wizara ya fedha kwa kutoanzisha mchakato wa kuwalipa wakuu wa IEBC ili waondoke afisini.