.
18th September, 2016
Seneta wa Baringo Gideon Moi amewataka viongozi wa jamii ya wakalenjin kuwatetea watu kutoka jamii hiyo ambao wamepoteza nafasi za kazi serikalini kwa mazingira ya kutatanisha. Gideon ambaye ni mwenyekiti wa KANU ameongeza kuwa wanaouunga mkono Jubilee wanatakiwa kufanya hivyo kwa