.
11th September, 2016
Amason Kingi walisema kuwa kifo cha mwanahabari huyo kinatakiwa kuchunguzwa kwa kina. Masha aliyekuwa mwanahabari alitajwa kuhudhuria mwisho hafla eneo la Malindi… na kuwa kazi yake ya mwisho. Kukiwa kumezuka fununu kuhusu jinsi alivyotolewa uhai. Waliofika walimtaja Masha kama mwanahabari mkakamavu, mwenye kujitolea kwa hali na mali na aliyefanya kazi yake kwa uadilifu pasi na kutopendelea pande yoyote. Jamii yake ilipombwa kuwa tulivu ikisubiri uchunguzi.