.
8th September, 2016
Kwenye kisa cha kusikitisha mwalimu mkuu wa shule ya msingi ya wavulana ya Nyabondo huko Kisumu amejitoa uhai. Kwenye taarifa ifuatayo, Frank Otieno anatuletea majonzi yaliyotanda shuleni humo, hali kadhalika huko Nakuru ambako bwana mmoja alikunywa sumu mahakamani baada ya hukumu yake kusomwa. Suala ibuka kwamba, je, kujitoa uhai ni kusuluhisha au ni kuwaachia taabu wapendwa wako? Kumbuka vilevile kwamba tunalijadili suala hilo kwenye kurunzi ya leo ambapo studioni yupo daktari mtaalamu wa mawazo ya mwanadamu