×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Kurunzi ya KTN: Nifae Nikufae, Wafugaji wagundua maziwa ya punda ni matamu na salama kwa matumizi

7th September, 2016

Mtazamaji je, ushawahi kuyanywa maziwa ya punda maishani mwako? Wafugaji sasa wamegundua kwamba maziwa ya punda ni matamu na salama  kwa matumizi ya binadamu. Hiyo ni faida moja tu ya mfugo punda mbali na kuhalalaishwa kwa nyama  yake tangu mwaka wa 2014 humu nchini. Mwanahabari wetu Lofty Matambo alikutana na mfugaji John Nduhiu katika kaunti ya Naivasha anayemsifu punda kwa maziwa yake na kumsomeshea watoto mbali na kumjengea nyumba, lakini iwapo utawapoteza punda wako 17 wanaokufaidi  kwa usiku mmoja utachukua hatua gani? Ndo simulizi za wafugaji punda  wengi wakilaani uwepo wa kichinjio cha punda cha Goldex kilichoko kaunti ya Baringo. Undani uko hapa katika makala ya nifae nikufae .

.
RELATED VIDEOS