×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Wafuasi wa Legio Maria wazozana

3rd September, 2016

Kulikuwa na kizaazaa katika makao makuu ya kanisa la Legio Maria la Got Kwer katika kaunti ya Migori baada ya baadhi ya waumini kumshutumu kiongozi wa kanisa hilo kwa madai ya usimamizi mbaya.

Hata hivyo waumini wanaomuunga mkono kiongozi huyo Romanus Ongombe waliwazidi nguvu wapinzano wao.

.
RELATED VIDEOS