.
10th August, 2016
Katibu mkuu wa chama cha walimu KNUT Wilson Sossion amewatahadharisha wadau wa elimu serikalini dhidi ya kuuharakisha mchakato wa mageuzi katika mfumo wa elimu. Sossion ametoa kauli hizo kwenye hafla ya ufunguzi rasmi wa kongamano la walimu wakuu ambalo limehudhuriwa na katibu wa elimu Dkt Belio Kipsang’ John Juma anaripoti kutoka Mombasa.