×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Suala ya Lishe bora katika eneo la Bamba

16th July, 2016

Kenya inajisifu kwa kupungua kwa idadi ya watoto wasiopata lishe bora. Ripoti ya afya nchini ya 2014 inaonyesha kuwa idadi hiyo imeshuka kutoka 35% mwaka wa 2008/2009 hadi 26%. Lakini kama anavyoarifu Mashirima Kapombe, mashirika ya kijamii na yasiyo ya serikali yakijiza titi kupunguza idadi hiyo zaidi, hakuna cha mno cha kusherehekewa.
.
RELATED VIDEOS