Jamii ya Wahindi wazunguka mjini Nairobi kuombea Amani nchini
25th June, 2016
Barabara za katikati mwa jiji la Nairobi jioni ya leo zilipambwa na rangi za kimavazi ya kihindu, wakati waumini wa dini hiyo waliandaa matembezi ya Festival of Chariots kuliombea taifa hili.
Matembezi hayo yalijumuisha maombi pamoja na zawadi kwa waliojitokeza kujumuika na nao.
Mark Namaswa anaarifu