Kikao cha dharura yawekwa kuhusu mzozo baina ya wafugaji na wakulima eneo la Mpeketoni
18th June, 2016
Wakuu wa usalama eneo la pwani ya Kenya wamefanya kikao cha dharura baada ya mtu mmoja kuuawa kwenye mzozo baina ya wafugaji na wakulima eneo la Mpeketoni. Aidha, mkuu wa usalama pwani Nelson Marwa ametoa hakikisho kwamba wanaohusika na machafuko eneo hilo watakamatwa.