Wana CORD wafanya maandamano ya amani Nairobi na kutisha kuongeza idadi hadi 2 kwa wiki
6th June, 2016
Licha ya maandamano kuzua maafa, maandamano ya wana CORD mjini Nairobi iyaliishia kwa wito kutolewa kwa serikali kuwa iwapo hapatakuwa na mazungumzo basi wana CORD watalazimika kuitisha maandamo mapya safari hii mara mbili kwa wiki. Mwanahabari wetu mpekuzi Mohammed Ali anaangazia mambo yalivyokuwa tangu na asubuhi katika maandamano hayo ya kupinga kuendelea kazi kwa makamishna wa tume huru ya uchaguzi IEBC.