Jamii kumi na nne kutoka kaskazini mwa Kenya zilikuwa na hafla maalum ya kuonyesha utamaduni wao
28th May, 2016
Zaidi ya jamii kumi na nne kutoka kaskazini mwa Kenya zilikuwa na hafla maalum ya kuonyesha utamaduni wao. Jamii nyingi katika eneo hilo ni za wafugaji na mara nyingi huhusishwa na matukio kama vile wizi wa mifugo. Carol Nderi anatupambia makala maalum kuhusu hafla hiyo ya kukata na shoka.