Rais wa Tanzania Magufuli amfuta kazi waziri kwa sababu ya unywaji pombe
22nd May, 2016
Hisia mbali mbali za zidi kutolewa kuhusu kuhusu kutimuliwa kazini kwa waziri wa mambo ya ndani nchini Tanzania Charles Kitwanga .na kama anavyoarifu mwana habari wetu rajab hassan kutoka dar-salaam tanzania kitwangwa aliachishwa kazi juzi na rais John Pombe kwa sababu ya unywaji pombe .