Ufa wa Imani katika kaunti ya Uasin Gishu
21st May, 2016
Je wamkumbuka Jehova Wanyonyi alijiita mungu na akatoweka kwa mazingira ya kutatanisha mwaka uliopita? Haya basi wafuasi wake wamo taabani kuhusu hatma yao baada ya mrithi wake kufukuzwa na baadhi ya waumini katika eneo la Chemororoch kaunti ya Uasin Gishu. Elvis Kosgey anaarifu. Elvis Kosgey anaarifu.