KTN Leo yamtembelea Elima Khanaisa, mshindi wa shilingi milioni 22 katika shindano la Sportpesa
10th January, 2016
Elima Khanaisa kutoka kaunti ya Kakamega alijiunga na klabu ya mamilionea baada ya kushinda kitita cha shilingi milioni 22 katika shindano la Sports-Pesa. KTN Leo ilimtembelea milionea huyo nyumbani kwake katika kaunti ya Kakamega ili kuelewa hali yake ya maisha.