×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Bi. Linah Jebii Kilimo awaonya vikali wahudumu wa afya Kisii kwa kukithiri kwa ukeketaji

17th December, 2015

Juhudi za kupiga vita tohara kwa mtoto wa kike katika jamii ya Wakisii inakumbwa na changamoto chungu nzima. Inadaiwa kuwa baadhi ya wahudumu wa afya wamekuwa wakiwapasha tohara wasichana kisiri. Mwenyekiti wa bodi ya kushughulikia maswala ya ukeketaji Bi. Linah Jebii Kilimo aliwaonya vikali wahudumu wa afya.
.
RELATED VIDEOS