Mwili wa Fidel Odinga yawasili Kisumu
9th January, 2015
Shughuli za kawaida zimekatizwa kisumu na Bondo baada ya mwili wa Fidel Odinga kufika kwenye miji hiyo mapema leo. Adhuhuri umefanyika mkutano mkubwa katika uwanja wa Jomo Kenyatta jijini Kisumu na baadaye msafara mkubwa kuelekea Bondo ambapo mwanawe aliyekuwa waziri mkuu Raila Odinga atazikwa.