×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Ibada ya wafu ya Fidel Odinga yafanyika All Saints Cathedral

8th January, 2015

Misa ya wafu kwa mwendazake, Fidel Odinga imefanywa hii leo katika kanisa la All Saints Cathedral hapa Nairobi. Ibada hiyo ilihudhuriwa na wakenya wa tabaka mbali mbali huku rais uhuru kenyatta, akiandamana na naibu wake William Ruto , magavana, maseneta, na wabunge . Jamaa na marafiki walimtaja Fidel Odinga kuwa mtu aliyewapenda watu na ambaye hakuathirika kwa mipaka ya tabaka au jamii. Rais uhuru kenyatta alitumia fursa hiyo kuwaomba wakenya kudumisha umoja.
.
RELATED VIDEOS