×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Mwanamke Gilgil amtafuta mumewe ambaye alichukuliwa usiku wa manane na “maafisa wa KWS”

21st November, 2014

Mwanamke mmoja katika eneo la Gilgil kaunti ya Nakuru amekuwa akimtafuta mumewe ambaye anadai alichukuliwa usiku wa manane na watu waliojitambulisha kuwa maafisa wa KWS. Mary Wairimu anasema kwa zaidi ya siku 10 hajamwona mumewe James Karanja Gitiha... Shirika la KWS tawi la Nakuru hata hivyo linakunusha kuhusika kwa maafisa wake kwenye misako manyumbani. Kamche Menza anaarifu
.
RELATED VIDEOS