×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Mahojiano: Ana kwa Ana na mwanaharakati Boniface Mwangi

16th February, 2014

Pale jina boniface mwangi linapotajwa, kinachokujia akilini mwako mtazamaji ni mwanaharakati anayeendeleza maandamano dhidi ya serikali, huku picha za kupigwa na maafisa wa polisi na kurushiwa vitoza machozi zikiwa si geni. Ni kijana aliyebadilisha sura ya maandamano humu nchini kwa kutumia talanta yake ya kisanii kama vile kutumia nguruwe kuashiria ulafi wa wabunge, kuunda vikaragosi aina ya watoto wachanga akiashiria japo kenya ina miaka hamsini, bado viongozi wake hawajakomaa kuleta maendeleo. Lakini je, ni kwanini akaamua kusita kuendelea na maandamano kama haya, japo wengi wanamtarajia kuendelea na vuta nikuvute kati yake na maafisa wa polisi.
.
RELATED VIDEOS