Gavana wa eneo la Garissa awataka walimu kufutwa kwa matokeo mabaya ya mtihani
3rd January, 2014
Siku chache tu baada ya matokeo ya mtihani wa darasa la nane kutangazwa, sasa viongozi wa maeneo ambayo wanafunzi hawakufanya vyema wanapanga mikakati ya jinsi ya kuinua hadhi ya shule katika maeneo hayo.katika kaunti ya Garissa , Gavanna wa eneo hilo amewataka walimu wakuu ambao shule zao hazijafanya vyema kuachishwa kazi .je hii ni hatua itakayochukuliwa kote nchini na itakubalika?