×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Dereva wa ajali ya Mtindwa afikishwa Kortini na kufunguliwa mashtaka ya mauaji

31st October, 2013

Dereva wa matatu iliyohusika jana kwenye ajali mbaya na gari la moshi eneo la mutindwa na kusababisha vifo vya watu 12 amefikishwa leo kizimbani akikabiliwa na mashtaka ya mauaji ya watu 9. Wakati huo huo, chama cha maslahi ya wenye matatu kimewataka wenye magari ya abiria pamoja na vyama vya ushirika vya magari ya usafiri kuwafuta madereva wenye kiburi na wasio na maadili mema kama hatua moja ya kupunguza ajali barabarani.
.
RELATED VIDEOS