Hassan Joho ataka Bandari ya Mombasa kurejesha kwa kaunti ya Mombasa
23rd July, 2013
Serikali ya kaunti ya Mombasa inapania kuirejesha bandari ya mombasa mikononi mwake wakisema kuwa kwa kufanya hivyo kutasaidia katika kurejesha hadhi na hata mapato ya kaunti hiyo. Matamshi haya yalitolewa na seneta wa kaunti ya Mombasa Hassan Omar Sarai na kuungwa mkono na gavana wa Mombasa Hassan Ali Joho wakati wa uzinduzi wa magari ya maafisa wa polisi wa kaunti