Masaibu ya mwalimu
26th June, 2013
Pale serikali ilipoafikiana na wadau wa elimu mwaka 97 kuhusiana na nyongeza ya mishahara yao na marupurupu, William Theuri alikuwa ni mwalimu wa shule ya wandumbi huko tetu. Yeye kama walimu wengine walikuwa na matumaini mahangaiko yao ya muda mrefu yatatupwa katika kaburi la sahau na mkataba huo wa 1997. Theuri lakini hana la kujivunia kwani alistaafu mwaka 1999 akiwa bado anasubiri nyongeza hiyo