×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Sportpesa yatia Kandarasi na klabu ya Arsenal

6th February, 2016

Kampuni ya bahati nasibu ya humu nchini sportpesa imetia kandarasi na klabu ya kandanda ya uingereza arsenal na kuwa klabu ambayo itaendesha maswala ya bahati nasibu kwa klabu hiyo humu nchini.mukataba huo utaipa nafasi kampuni hiyo kuwapa vijana n afasi ya kupata mafunzo ya kandanda kutoka kwa makocha wa timu ya arsenal mara mbili kwa msimu. Mkataba huo pia utasaidia katika kukuza soka nchini. Kwa upande wake klabu ya arsenal itawapa wakenya fursa ya kupata mafunzo kuhusu mbinu za kuendesha maswala ya soka na pia mbinu ambzo zitatumika kuboresha soka.
.
RELATED VIDEOS