×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Mauaji ya mwanamke Machakos; mumewe ndiye mshukiwa

1st April, 2022

Maafisa wa usalama katika kaunti ya Machakos wanamtafuta jamaa mmoja kuhusiana na mauaji ya mkewe saa za usiku wa manane.

Faith Mueni Mutinda mwenye umri wa miaka 35 kutoka eneo la kikumbo kaunti ndogo ya Kalama adaiwa alienda kulala kama kawaida baada ya mlo pamoja na mumewe Harrison Mutisya ila hakuamka.

Alipatikana na majeraha ya panga kichwani kwenye mkono wake huku mwili wake ukiwa umeloa damu.

.
RELATED VIDEOS