×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Ruto asema kwamba uchaguzi mkuu wa agosti utaashiria mwisho wa siasa za kihuni nchini Kenya

31st March, 2022

Naibu Rais William Ruto amesema kwamba uchaguzi mkuu wa agosti utaashiria mwisho wa siasa za kihuni nchini Kenya. Akizungumza katika kaunti ya Kitui, Ruto amesema kwamba kwa mda mrefu, baadhi ya wanasiasa wamejiendeleza kwa kuwahujumu wengine. Naibu Rais aliyekuwa ameandamana na wabunge, maseneta na uongozi wa UDA, amewarai wakazi wa ukambani kaunti za machakos na kitui kumuunga mkono kwa kuwa nia ya Kenya Kwanza ni kuyaweka mbele maslahi ya wakenya.

.
RELATED VIDEOS