×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Uhaba wa mafuta watatiza shughuli za kawaida katika mji wa Kapsabet kaunti ya Nandi

31st March, 2022

Uhaba wa mafuta katika eneo la kaskazini mwa bonde la ufa unatatiza shughuli za kawaida katika mji wa Kapsabet kaunti ya Nandi. Mji wa Kapsabet na viunga vyake umeshuhudia uhaba huo na kuwalazimisha madereva wa magari na wahudumu wa bodaboda kulazimika kusafiri mbali hadi kwenye vituo ambavyo vingali na mafuta ili kufanikisha shughuli zao.

.
RELATED VIDEOS