.
30th January, 2022
Mzee ambaye picha yake inadaiwa kuchapishwa na serikali ya kikoloni kama mtu anayetafutwa kwa kosa la kumpiga na kumjeruhi mzungu enzi ya utawala wa kikoloni 1940 amezikwa nyumbani kwake katika kijiji cha tumeiywo kaunti Ya Elgeyo Marakwet. Mzee Jeremiah Kigen Mosop Arap Chemirmir anayeaminika kuwa na umri wa zaidi ya miaka mia moja ameaga dunia baada ya kuandikisha historia katika Utawala wa kikoloni.