×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Jaji Sankale apata afueni baada ya mahakama kuu kuagiza JSC kutoendelea na kesi dhidi yake

25th January, 2022

Ni afueni kwa jaji wa mahakama ya Rufaa Sankale Ole Kantai baada ya mahakama kuu kuagiza tume ya huduma za mahakama nchini, JSC, kutoendelea na kesi dhidi Ya Jaji Sankale.

Tume hiyo ilikuwa imepokea maombi mawili ya kumchunguza Jaji Sankale na kupendekeza kutolewa ofisini. Akitoa agizo hilo, Hakimu Anthony Mrima alisema maombi hayo mawili yawekwe pamoja na kusikizwa kama ombi moja.

.
RELATED VIDEOS