.
22nd January, 2022
Naibu Rais William Ruto amekuwa katika kaunti ya makueni japo hakupata makaribisho ya kuridhisha kutokana na idadi Ndogo ya watu waliohudhuria mkutano huo.katika mkutano Wake wa kwanza katika kanisa la AIC, Kathonzweni naibu rais alilazimika kupiga kambi afisini ili watu wafike kuhudhuria Hafla hiyo iliyokuwa na watu wachache.