×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Matayarisho ya kongamano la cha ANC yaendelea BOMAS huku Musalia akitarajiwa kutoa mwelekeo

21st January, 2022

Matayarisho ya kongamano la chama cha anc yanaendelea kwenye eneo la bomas ikitarajiwa kuwa kiongozi wa chama  cha anc  musalia mudavadi atatoa mwelekeo wa kisiasa wa chama hicho…lakini ni ripoti kuhusu walioalikwa kwenye kongamano hilo ambayo imeibua hisia kali kwenye ulingo wakisiasa…inadaiwa kuwa kinara wa chama cha odm raila odinga hajaalikwa kwenye kongamano hilo huku maswali yakisalia je, ni mpango upi unaoandaliwa na musalia? 

.
RELATED VIDEOS