.
14th January, 2022
Sekta ya Jua Kali nchini imekuwa kitega uchumi cha jamii kwa miaka mingi. Sekta hii inatambulika kwa kutawaliwa na watu wa jinsia ya kiume kutokana na hali kwamba kazi inayofanyika huhitaji nguvu sana, Manthari ya kazi huwa kero, kelele na uchafu suala ambalo linawafanya kina dada wengi kukaa mbali. Lakini sasa katika mji wa Kisumu kuna baadhi ya wanawake ambao wamejitosa katika sekta hii ya Jua Kali.