×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Baba akiri kuuwa mkewe na mtoto wake kisha kuwazika eneo la Baringo

27th December, 2021

Wakazi wa eneo la Mogotio kaunti ya Baringo waliamkia kisa cha kuatua moyo baada ya mshukiwa mmoja wa mauaji ambaye alikuwa chini ya mbawa za polisi kuwaelekeza polisi kufukua makaburi ya mkewe na mawanawe anayesemekana kuwaua na kuwazika. Mshukiwa Moses Kipchirchir Ruto anadaiwa kuwaua watu watatu kwenye mazingira tata.

.
RELATED VIDEOS