×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Noah Wekesa alalamika akisema alipokonywa nafasi yake ya kuwa mwenyekiti wa DAP-K

16th December, 2021

Siku chache baada ya chama kipya cha democratic action party of kenya, SAP-K, kuzinduliwa  nyufa zinaonekana kuanza kuibuka mapema baada ya aliyekuwa waziri na mbunge wa kwanza noah wekesa kuibuka na lalama kuwa alipokonywa nafasi yake ya kuwa mwenyekiti wa chama hicho kipya. wekesa sasa anautaka uongozi wa chama hicho kumwomba msamaha kwa kuvunja ahadi ya kwamba angekuwa mwenyekiti na kisha wadhafa huo kipewa mbunge wa kanduyi wafula wamunyinyi.

.
RELATED VIDEOS