8th December, 2021
Familia ya afisa wa polisi Benson Imbatu ambaye aliwaua watu sita na kisha kujiua kwa kujipiga risasi katika mtaa wa Kangemi imeelezea kushangazwa na kisa hicho.
Wakizungumnza nyumbani kwao kaunti ya Nandi, watu wa familia ya Imbatu wamemtaja kuwa mtu wa kawaida ambaye hakuwa na hasira wala hulka ya kuzozana na watu.