.
7th December, 2021
Serikali yaahidi kuwa italijenga upya daraja la Enziu kwa gharama ya shilingi nusu bilioni. Taarifa hio imetolewa na katibu katika wizara ya uchukuzi Paul Maringa baada ya ajali katika kivukio hicho kuwaua watu 33.
Hii ni mara ya pili kwa serikali kutoa tangazo hilo la ukarabati wa daraja la Enziu.