Watu watatu waokolewa katika shughuli ya kuokoa wachimba mgodi kule Bondo
5th December, 2021
Shughuli ya uokoaji bado inaendelea katika kijiji cha Abimbo huko Bondo kuwatafuta wachimba migodi wanne ambao bado wako ndani ya Mgodi ulioporomoka Alhamisi