×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

IEBC yajiondoa kwenye jopo la maandalizi ya uchaguzi, Chebukati adai uhuru wa IEBC utaathiriwa

30th November, 2021

Mkutano wa jopo la pamoja la ushauri kuhusu matayarisho ya uchaguzi mkuu ujao uliopaswa kufanyika watibuka. Hii ni baada ya tume ya uchaguzi na mipaka nchini IEBC kujiondoa kama mdao mkuu kwenye jopo hilo na kusababisha Jaji Mkuu Martha Koome, Waziri wa Usalama Fred Matiang'i na Joe Mucheru wa mawasiliano kuahirisha kwa muda mkutano huo na kuuwacha kwenye njia panda hatma ya jopo hilo.

.
RELATED VIDEOS